Success Designs. Powered by Blogger.
Popular Posts
- 
(L-R) FARHA SULTAN-FRANKO SHIRIMA-KHADIJA MWANAMBOKA-ASIA IDARIOUS
 - 
THE DAY OF THE AFRICAN CHILD THEME FOR 2014 IS " A CHILD FRIENDLY,QUALITY, FREE AND COMPULSORY EDUCATION FOR ALL CHILDREN IN AFRI...
 - 
Mwenyekiti wa TMH na mbunifu wa mavazi Khadija mwanamboka, Farha Sultan new born na Mbunifu mahiri Ally Remtulah Mmiliki wa Nyumbani Loun...
 
Blog Archive
- August (1)
 - June (1)
 - February (5)
 - December (2)
 - November (4)
 - October (5)
 - September (1)
 - August (3)
 - July (6)
 - June (3)
 - May (5)
 - April (1)
 - March (4)
 - February (4)
 - January (8)
 - December (7)
 - November (10)
 - October (22)
 - September (24)
 - August (20)
 - July (18)
 - June (9)
 - May (18)
 - April (14)
 - March (18)
 - February (16)
 - January (22)
 - December (24)
 - November (19)
 - October (16)
 - September (5)
 - August (11)
 - July (7)
 - June (25)
 - May (24)
 - April (26)
 - March (25)
 - February (7)
 - January (1)
 
About Me
- Tanzania Mitindo House
 - Dar Es Salaam, Tanzania
 - Tanzania Mitindo House (TMH) is a Non-Governmental Organisation (NGO) with ,a main purpose of using the fashion Industry to reach out to the community through charity work.
 
Monday, February 14, 2011
TANZANIA RED RIBBON FASHION GALA @ Double Tree by Hilton 23/12/2010
 Wageni waalikwa mbali mbali walipata nafasi ya kupita katika Red carpet, Martin Kadinda na Sarah Raqey wakipata picha ya pamoja...
 Bijoux with gloves mkononi looking fly
 Belina Mgeni model wa muda mrefu akiwa mbele ya camera doing her thing
 Kili janga,Bella Msilanga na Halima Kamusi wakipita juu ya Dhulia jekundu
 Jokate Mwegelo with cute smile............
 Nikimuita dolly parton nitakosea??? Rehema Samo mamaa wa makeup bongo..... Penny akiwa na wadogo zake pembeni ndani ya Red carpet
 Mwanvita makamba,Ankal, wife wa ankal na Gagalicious wa bongo wakipata picha ya pamoja.. this time gaga alitulia wakatia anapaka make up yake nahisi.. loooking so pretty!!
 Wageni waalikwa mbali mbali wakita tayari kwa Onyesho la Mavazi lililomshirikisha balozi wa TMH Flaviana Matata
 Mwendeshaji wa Shughuli  alikuwa Taji Liundi....
Muanzilishi na  Mwenyekiti wa TMH Khadija Mwanamboka akitoa neno la shukrani kwa wageni kuitika wito na kufungua rasmi  Onyesho  La Mavazi
Ubunifu wa Zamda George : Model Balozi wa TMH Flaviana Matata
Ubunifu wa Franko Designs Model: Mwinyi Goha
Ubunifu wa Subira Wahure Model : Flaviana Matata
 Mbunifu Ally Remtullah akiwa ndani ya Shati la Gunia  lililobuniwa na Khadija Mwanamboka Ubunifu wa Jamila Swai: model: Victoria Martin
 Ubunifu wa Paka Wear: model: Daxx Hassan
Ubunifu wa Gabriel Mollel: Model Jamila Nyangasa
Ubunifu wa Dayana Magese: Model Hidaya Maeda
Ubunifu wa Gabriel Mollel: Model Jamila Nyangasa
Ubunifu wa Dayana Magese: Model Hidaya Maeda
 Ubunifu wa Mustafa Hassanali: model: Eva
 Ubunifu wa Manju Msita: model: Om Josh
 Ubunifu wa Kim Dean: Model Balozi wa REDD'S Consolatha Lukosi
 Ubunifu wa Farha Sultan:Model Flaviana Matata(balozi wa TMH) gauni hili lilinunuliwa kwa shilingi Milioni Mbili na Anitha Msangi Rwehumbiza - Asante Sana Ubunifu wa Bianca:Model: Giver Meena
 Wakati huo huo...Balozi wa TMH Flaviana Matata alipata nafasi ya kuzungumza na watanzania pamoja na kuwashukuru kwa kujumuika pamoja usiku huu katika kuchangisha Fedha kwa ajili ya kununua gari la watoto.. anatambua nini maana ya Yatima na ameamuaa kutumia likizo yake kufanya kazi kwa jamii yake hapa nyumbani!!
 Mnada pia ulichukua nafasi yake ili kuwezesha kupatika fedha kwa ajili ya gari ya watoto...Shukurani za Dhati kwa  Mheshimiwa Mohammed Dewji kwa kununua gauni hiyo kwa shilingi Milioni mbili.... Mwenyezi Mungu akuongezee maradufu pale ulipopunguza maana ukileta kwa jamii inayohitaji!!
 Vodacom Foundation nao walinunua gauni iliyovaliwa  na Flaviana Matata kwa Shilingi Milioni Tano na wala hawakulichukua ila tu ilikuwa ni njia ya kuchangisha fedha kwa ajili ya watoto wa TMH.CEO wa Bang magazine akipokea tuzo kwa kuisupport Tanzania Mitindo House Tangu kuanzishwa kwake!!
Mmiliki wa 8020fashions shop na blog ya 8020fashions akipokea tuzo pia kwa kuisupport TMH...
Kuwashukuru wafuatao kwa mchango wao wa Khali na Mali katika kufanikisha onyesho hili la uchangishaji wa fedha na kiasi cha shilingi milioni 24 zilipatikana,
VODACOM TANZANIA LIMITED  na REDD'S wao wakiwa ndio wadhamani  wakuu wa Onyesho hili na Support ya kutosha kutoka kwa 
- WABUNIFU WOTE WALIOSHIRIKI ONYESHO LA MAVAZI
 - ALLY REMTULLAH NA HEMED SULEIMAN
 - MHESHIMIWA JANUARY MAKAMBA
 - I-VIEW MEDIA
 - BENCHMARK PRODUCTIONS
 - BWANA PETER NGAIZA
 - KIONDO COMMUNICATIONS INTERNATIONAL
 - CLOUDS ENTERTAINMENT
 - UHURU ONE
 - BancABC
 - AZANIA BANK LTD
 - SUMMER TRENDS
 - ABLA APARTMENTS
 - 8020 FASHIONS
 - EFFCO PTY LTD
 - DR DAVID ZAKARIA
 - WOMEN IN POWER(WIP)
 - AMINA DESIGN
 - VIJANA ZAIDI
 - NATIONAL SOCIAL SECURITY FUND
 - FRONT LINE MANAGEMENT
 - DOUBLE TREE BY HILTON
 - FIDERINE IRANGA
 - JENIFA PEMBA
 - UNIQUE PEARL COLLECTION
 - JESTINA GEORGE
 - TAJI LIUNDI
 - NOREEN KASSAMALI
 - MR MAJUTO OMARY
 - BLOGGERS AND TV STATIONS
 
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




































0 comments:
Post a Comment